Posts

SAFARI YA MAFANIKIO.

Image
(Picha;Sir Moris) Azimio langu la kujiunga na chuo kikuu wakati nilipokuwa chuo Cha upili hatimaye iliwadia.Baada na kunyakua alama za juu katika mtihani wa kitaifa wa shule ya upili, nilipata mwaliko katika chuo kikuu Cha kiufundi Cha Mombasa.Sikufikiria mara mbili mbali nilijitosa mzimamzima ili nikajishuhudie yote yatendekayo katika vyuo vikuu.Nilipokwisha kujisajili nilielekezwa katika darasa langu.Maisha niliyoyatarajia huku yalikuwa kinaya.Nilijifunza jinsi ya kujitegemea pasipo mzazi au mwalimu . Katika pilkapilka zangu za masomo,nilikuja kugundua Kuna watu wenye sampuli tofauti humu chuoni;wale wapole,wenye hasira,wale waraibu wa mihadarati na wanaozama katika Lindi la shinikizo la rika.Nilijitahidi sana nisiwe mwenye sifa mbaya kadri niwezavyo.Miaka ilizidi kusonga hadi ilipofika muda wa kiambatisho almaarufu field attachment.Huo ulikuwa muda wa wanafunzi kujiendeleza kimasomo katika kiwango Cha uhalisia almaarufu practicals.Kwa kuwa nilikuwa nasomea uanahabari na utengenezaji...

THE ROLE OF YOUTHS IN CREATING A MORE DEMOCRATIC KENYA.

Image
  The Role of the Youth in Building a More Democratic Kenya Post date:  Thu, Jul 5, 2012 Category:  General By:   IEA Kenya , Democracy is oftentimes loosely defined as a rule by the majority, where the majority has their say and way. That should mean that all citizens of a democratic country should have their say in everything that affects their lives: politically, socially and economically. In practice however, democracy is commonly viewed as simply the electoral process. This is misguided since it limits democracy to the ballot process alone and clearly explains why there is immense pressure that surrounds the electoral process. What kind of democracy is Kenya, if it serves the interests of the powerful minority while ignoring the wisdom of the majority? Kenya continues to struggle from the effects of bad governance, impunity, weak public institutions, inequality and historical injustices despite the record show up at the ballot box. This thus begs the question, I...

THE CLIMATE CHANGE CRISIS CAN BE AN OPPORTUNITY.

Image
The 2022 United Nations Climate Change Conference is underway in Egypt and an obvious question is: what does this matter to us in Latin America and the Caribbean (LAC) region? The short answer: a lot. While climate change poses a big threat, tackling it offers a huge opportunity for the region. It can make people safer today and opens great opportunities for the future. But to achieve this, we need to act now. Let’s talk first about the threat. Whether you live in a city or in a rural area, climate change is here and more of it is coming soon. Whenever I travel across the region, I see the effects on people through longer droughts and more frequent floods. On a recent trip to Argentina, I visited communities in the Impenetrable Forest of Chaco and in the mountainous areas in Salta and saw them struggle with drought. On the same trip, I heard from staff in our office in Asunción in Paraguay, who could not return home because torrents of water from heavy rains made the streets impassable...

REASON FOR MOMBASA RESIDENTS TO BE HAPPY AS THE PORT COMES BACK

Image
Yatani: Mombasa port not at risk of takeover by Chinese government Yatani says port has no adverse exposure to any lender or category of lenders. In Summary • The CS maintained that the port is a strategic asset financed by government with support from multilateral and bilateral development partners. • "Kenya will continue to honor its debt service obligations to safeguard its credit standing among nations, attract investment and promote growth and development of its people," the CS said. The government has dismissed claims that the Port of Mombasa could be taken over by the Chinese government if it defaulted on the SGR loan. In a statement by Treasury CS Ukur Yatani  on Monday, the government said the port has no adverse exposure to any lender or category of lenders through existing loan agreements. This comes after the Star  ran a story on a report by the Auditor General which showed the port of Mombasa could be under the control of the Chinese if the government defaults on...

TOXIC RELATIONSHIPS IN CAMPUS.

Image
A toxic relationship is one that makes you feel unsupported, misunderstood, demeaned, or attacked.on a basic level,any relationship that makes you feel worse rather than better can become toxic over time .  A relationship is toxic when your well being is threatened in some way emotionally, psychologically and even physically.these are sign of toxic relationships in campuses Relationships that involves physical  or verbal abuse are definitely classified as toxic.But there are other, more subtle signs of a toxic relationship including; • You give more than you're getting,which makes you feel that you are not enough for your partner. • You feel disrespected all the time and you can't complain about it or talk it out because fear loosing him/her and sometimes your needs aren't being met. • You feel depressed, angry  after speaking to your partner because you keep on arguing the same story over and over. • You bring out the worst in each other or you are not your best self aro...

HALUA CHUNGU

Tamthilia hii hali ya maisha ya Omar Chikebe mwanawe Bi. Samia na marehemu mzee Shehena. Omar amezaliwa kijiji na kukulia mjini. Anabahatika kumpata Hamida kama mpenziwe. Wanapanga kuoana na Omar anaamua kumpeleka Hamida kijijini akamjulishe kwa mjombake Mzee Kizito na mipango ya harusi ianze. Mzee Kizito anaamrisha Omar apelekwe jandoni mara ya pili kwa kuwa hakutahiriwa kimila na alipotahiriwa hospitali hakupata maumivu ishara ya kuwa hakuwa ametahiriwa vizuri. Hamida anapinga na kuhusisha hali hiyo na ushirikina. Anaamua kutoroka kijijini na kurudi mjini. Hatimaye Omar anapelekwa jandoni kwa ngariba. Anatahiriwa na msaidizi wa ngariba mkuu, Mazingo. Mazingo anamtahiri vibaya kwa kuwa pia yeye amempenda Hamida. Omar anakufa. Vurugu linatokea kwenye mazishi na mzee Beba ngariba mkuu anafunguka na kusema hakutaka Omar na Hamida waoane kwani walikuwa mandugu na mzee Beba alkuwa baba yao. WAHUSIKA WAKUU Omar – Mhusika mkuu mtoto wa Mzee Shehena na Bi. Samia Hamida – mpenziwe Omar Mzee Sh...