HALUA CHUNGU
Tamthilia hii hali ya maisha ya Omar Chikebe mwanawe Bi. Samia na marehemu mzee Shehena. Omar amezaliwa kijiji na kukulia mjini. Anabahatika kumpata Hamida kama mpenziwe. Wanapanga kuoana na Omar anaamua kumpeleka Hamida kijijini akamjulishe kwa mjombake Mzee Kizito na mipango ya harusi ianze. Mzee Kizito anaamrisha Omar apelekwe jandoni mara ya pili kwa kuwa hakutahiriwa kimila na alipotahiriwa hospitali hakupata maumivu ishara ya kuwa hakuwa ametahiriwa vizuri. Hamida anapinga na kuhusisha hali hiyo na ushirikina. Anaamua kutoroka kijijini na kurudi mjini. Hatimaye Omar anapelekwa jandoni kwa ngariba. Anatahiriwa na msaidizi wa ngariba mkuu, Mazingo. Mazingo anamtahiri vibaya kwa kuwa pia yeye amempenda Hamida. Omar anakufa.
Vurugu linatokea kwenye mazishi na mzee Beba ngariba mkuu anafunguka na kusema hakutaka Omar na Hamida waoane kwani walikuwa mandugu na mzee Beba alkuwa baba yao.
WAHUSIKA WAKUU
Omar – Mhusika mkuu mtoto wa Mzee Shehena na Bi. Samia
Hamida – mpenziwe Omar
Mzee Shehena – Babake Omar (marehemu)
Bi. Samia – mamake Omar
Mzee Kizito – Mjombake Omar
Mika – Mjombake Hamida
Khamis – Cousin wa mzee Kizito
Mzee Beba – Ngariba mkuu.
Mazingo – Msaidizi wa Ngariba.
Good job
ReplyDeleteHii Tamu
ReplyDeleteKazi nzuri kaka
ReplyDeleteHongera
ReplyDeleteNice article π
ReplyDeleteGreat article
ReplyDeleteDoing great
ReplyDeleteGreat π―
ReplyDeleteMr Vinyambiz
ReplyDeleteHii Yanikumbusha Kitumbua mchangaπ π π π π π π π π
ReplyDeleteAu sio mwanafalsafa mwengine huyu sioπ€£π€£π₯π₯π₯π₯
ReplyDeleteGood work
ReplyDeleteNice one
ReplyDeleteMalenga, mtunzi π₯
ReplyDeleteNice work π―
ReplyDeleteKazi safi
ReplyDeleteNice
ReplyDeleteKazi safi
ReplyDeleteNice
ReplyDeleteKazi safi
ReplyDeleteTop man..π
ReplyDeleteKazi nzuri
ReplyDeleteGood job
ReplyDeleteπππ
ReplyDeleteGreat
ReplyDeleteNyc
ReplyDeleteGood work
ReplyDeleteNakala nzuri.
ReplyDeleteNakala nzuri,
ReplyDeleteKiswahili kitukuzwe!π
Hekoπ
Kazi nzuri
ReplyDeleteSwadakta
ReplyDeleteShwari
ReplyDeleteNice work
ReplyDeleteNice work
ReplyDeleteImpressive
ReplyDeleteKazi nzuri
ReplyDeleteVery impressive
ReplyDeleteThis is nice Morris
ReplyDeleteNice one sirr Morice
ReplyDeleteintresting, keep it up
ReplyDeleteNice work
ReplyDeleteKazi safi
ReplyDeleteGreat piece
ReplyDeleteCool and that i have a super proposal: What Home Renovation Expenses Are Tax Deductible home remodeling companies
ReplyDelete